WANAWAKE NA MAENDELEO - BUNJU SISTERS GROUP TUNASONGA

Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa chama hicho. Miss Loyce Joseph ambaye pia ni CEO wa Blog hii, katikati ni Miss Lucy na mwisho ni Janet Jackson
Bunju Sister group, nikikundi cha Mabinti ambao kinalenga maendeleo zaidi na kusaidia katika mambo ya kijamii, Tunakopeshana fedha na mengine mengi. picha hizi niza kikao kilicho pita


Kikundi cha BSG kinamuda wa mwaka sasa, tayari kina wana-
chama 8, kikundi kinamipango ya kufungua biashara ya kikundi ilikutunisha mfuko wa chama


Mwenyekiti wa kikundi hichi ni Loyce Joseph, Mwenyekiti msaidizi ni Susan Nzota, Muweka hazina Wendi, wanachama wengine ni Lucy, Dianarose, Janet Jackson, Bibianna, na Susan

Wa kwanza Kushoto ni Kaimu Mwenyekiti Miss Zusan Nzota akikamilisha taarifa ya kikao hicho, katikati ni Miss Dianarose na aliye simama ni Miss Wendi

Kikao kilifanyika Dons Girl Pub ambayo iko Mbweni masaiti, marekebisho ya kalenda ya chama yalifanyika, pamoja na kuwatambua wanachama wapya walioomba kujiunga na chama chenu

Susan na Janet wakipata msosi baada ya kikao, katikati ni Muweka azina wetu Miss Wendi
Kikundi kina mkaribisha binti yeyote ambaye anatokea maeneo ya Bunju au Mbweni kujiunga na chama chetu, masharti yetu nikujitambua kwanza. 


EmoticonEmoticon