MBWA AHAMIA BUNGENI, MHAKAMA NAYO YAKANA KUWANYIKA HAKI WANANCHI

KUTOKA BUNGENI

Mbunge wa Kondoa Kusini Mhe. Juma Nkamia hii leo ameshangaza jamii alipomuita Mbunge mwenzake Mhe. Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya Mjini kuwa ni “MBWA” alipokuwa akichangia hotuba ya Bajeti ya Ofisi wa Waziri Mkuu inayoendelea hizi sasa Bungeni

Bila hiyana Mhe. Nkamia alitamka neno hilo zaidi ya mara moja kuwa Mhe. Mbilinyi ni Mbwa licha kuambiwa kutofanya hivyo na Naibu spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai

“Sugu naomba uwena eshima, mimi sizungumzi na Mbwa nazungumza na Mwenye Mbwa” wkati mabishano yakiendelea Mhe. David Machali aliingilia na kusema.... kwakuwa umesema sugu ni mbwa inamaana spika ni Mbwa na wabunge nao ni Mbwa.”

“Nkamia naye Alijibu tena aliye toa hoja sio makini kwani swezi kuongea na watu wasiokuwa makini, … Spika aliingilia baada ya mjadla kuendelea sana hali inayoonyesha upendeleo wa waziwazi alioufanya Spika...

“Nkamia baada ya kuambiwa aombe radhi kwa kauli hiyo alisema.... Kilicho nifanya nikosema maneno hayo ni maneno ya chini chini ya aka Sugu....akadai alicho maanisha ni Kuwa anaongea na baba na sio mtoto nakuongeza kuwa nyimbo za Sugu ataendelea kuzisikiliza”

MAHAKAMA YAKANA KUWANYIMA HAKI WANANCHI

Jaji mkuu Fredrick Werema amepinga vikali swla la serikali kutumia mahakama kama chombo cha kuwapiga wanyonge baada ya kujibu swali aliloulizwa na mbunge wa viti maalum Magdalena Sakaya ambaye alitakja kujua kwanini serikali inafanya hivyo huku akisema juu ya swala la mgomo na madai ya walimu

“Serikali nimhajiri kama waajiri wengine swala la kwenda mahakamani ni lakisheria na sikweli kwamba mahakama inatumiwa kuzuia haki za wanyonge alisema JAJI mkuu.

Hoja inayoendelea kujadiliwa hivi sasa bungeni ni Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na wizara zote zilizopo chini yake.


EmoticonEmoticon