MCHAKATO WA SEKTA ZA UMMA KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI- MANISPAA YA KINONDONI WAANZA




Serikali imeanza mchakato wa kutekeleza miradi ya ubia kati ya sekta binafsi na sekta ya umma ilikukuza maendelea katika jamii

Akiongea kwenye mkutano huo ulifanyika hii leo katika hoteli ya TravelTain jijini Dar es salaam na kuwahusisha wadau wa sekta binafsi na sekta ya umma Afisa Biashara wa manispaa ya kinondoni bwana Ananias Jacob amesema lengo nikukuza maendeleo ya kibiashara katika manispaa ya kinondoni


Kikao iki nichamara ya kwanza, lengo ikiwa ni kuungana na sekta binafsi katika kukuza maendeleo katika manispaa hii ukizingatia sekta binafsi ina mchango mkubwa sana kwenye ukuaji wa maendeleo” Alisema Jacob

Aidha, kwa upande wa wadau wa Sekta binafsi Poul Mashauri kutoka kampuni ya The bernchmark of excellence (EASB ) amesema wameshukuru serikali kuwashirikisha katika kukuza uchumi, ikiwa ni pamoja na mambo ya tehama kati yao na sekta za umma.





Mkutano huu unamaana kubwa kwetu kwamba, serikali inatambua mchango wetu katika kukuza uchumi hasa wa manispaa yetu kwani sekta ya umma itatupo tupa sapoti mabadiliko lazima yataonekana” alisema Mashauri



Mashauri aliongeza kuwa, katika mambo yanayo fanyika baina yao na sekta ya umma kuwepo na taarifa kwa ambazo wanapewa wananchi iliwaweze kujua juu ya maendeleo yao. 


EmoticonEmoticon