OUR BELOVED BI. KIDUDE HAS GONE...


Photo: HOTMIX (11:00 Jioni): Nguli wa muziki Bi. Kidude (Fatuma Binti Baraka) afariki dunia. Jiunge nasi SASA katika kutoa pole na upate ripoti kamili kuhusu maisha yake mpaka mauti yalipomfika... Pia, pata kujua yaliyojiri ndani ya BUNGE...

--->> COMMENTS
Mwananziki mkongwe zaidi Tanzania na Duniani Hayati Fatuma Binti Baraka amefariki Dunia hii leo huko Zanzibar baada ya kuugua kwa muda mrefu akisumbuliwa na uvimbe tumboni

Bi. Kidude anakadiriwa kuwa na umri wa miaka 100 au 102, kwani hakuna mtu aliye weka kumbukumbu za siku yake ya kuzaliwa lakini marehemu anasema alizaliwa enzi za matumizi ya Rupi huko Zanzibar



Blog hii inaungana na Watanzania wote katika maombolezo ya shujaa wa muziki wa Taarabu nchini


EmoticonEmoticon