MBUNGE MWINGINE WA CCM ATUKANA BUNGENI LICHA YA MKWARA WA POLISI KUTANGAZWA


 Wakati Bunge linamalizia kikao chache cha Asubuhi hii leo (Mkutano wa 11, Kikao cha 6) bila hiyana,
Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya CCM Peter Serukamba ametoa tusi Bungeni 




alipopewa nafasi yakuongea baada ya kambi yaupinzani kumaliza kutoa sababu za kisheria kwanini wazungumzie mambo ya Usalama wa Taifa Bunge

Tusihilo ambalo limewalenga watanzania ambao na mwingine ambaye mbunge huyo anamjua yeye

“tusi lenyewe nitaliandika kama alivyo tamka mheshimiwa wetu 'came one FUCK YOU', miongoni mwa tusi kubwa kuliko yote Bungeni” Mbaya zaidi watoto na wanajua kingereza siku hizi

.... angalizo Mhe. Mbunge akuogopa kutaja tusi mbele ya Bunge Tukufu na Kwenye Television ya Taifa huku akiwa na uhakika kwamba watanzania wengi wanatazama Blo hii ijaona haya pia kusema

Ikiwa ni siku moja tu baada ya Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda kupiga mkwara na kusema Polisi watatinga Bungeni kumkamata mbunge yeyote atakaye tukana

****
>Matusi yenu yanafanya tunasahau yote ya msingi mliotangulia kuongea
>Pia hii inaonyesha udhaifu wa uongozi wa Bunge
>Madhara ya Kupendelea upande mmoja
>Bunge limegeuka Pango la wahuni

Kama kanuni za Bunge sio kitu, Spika sio kitu na watanzania sio kitu mbele ya mnayo yafanya kwao basi hata viliovyetu sio shida kwenu …. matusi yenu sio ya njaa tulizo nazo na ugumu wa maisha bado mnatutusi hadi kwa maneno


EmoticonEmoticon