Masaa machache yaliyopita Maduka kadhaa yameteketea kwa moto katika eneo la kibaoni jijini Dar es salaam kwa kile kilichodaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme,...

WANAWAKE ELFU 4300 HUFARIKI KILA MWAKA KUTOKANA NA SARATANI YA KIZAZI
Miongoni
mwa wanawake Elfu 6200 ambao hugundulika kuwa na Saratani, katiyao
wanawake Elfu 4300 ufariki kila mwaka kwa ugonjwa huo. Wengi wawana
wake...

MWANZA KUHAMIA DIGITALI USIKU WA LEO
Leo
usiku Wakazi wa mkoa wa Mwanza watahamia mfumo mpya wa kurushia
matangazo wa dijiti, Kama ilivyo pangwa na TCRA
Akiongea
na Blog hii akiwa...

TANESCO: LIPENI DENI LENU ACHENI KULALAMIKA
Stop grumbling and pay your debts, Tanesco told
By Mkinga Mkinga
The Citizen Reporter
SOURCE: The Citizen News Paper
Dar es Salaam. Tanesco...

NCHI IMEINGIA TENA GIZANI: MNYIKA ALIA NA TATIZO LA UMEME
Sikuambayo Blog hii ilitoa chapisho kuwa : HAKUNA MGAO WA UMEME TANESCO WAFUNGUKA, HABARI ZA KUZIMWA MITAMBO YA SONGAS, BWAWA LA MTERA YAKANUSHWA,
John...

OFFICIAL VIDEO RUFFTONE NA THE GFU INAITWA MUNGU BABA
Wimbo huu ni miongoni mwa nyimbo kadhaa zilizotungwa na wasanii wa Kenya wakiamasihsa amani kuelekea uchaguzi mkuu nchini humo. Kenya itafanya uchaguzi...

KENYATTA AONA DALILI YA KESI YA ICC KUFUTWA
Mgombea
Urais kwa tiketi ya chama cha Jubilee bwana Uhuru Kenyatta anaye
kabiliwa na mashitaka katika mahaka ya kimataifa ya ICC ametanhaza
kesi yake...

HAKUNA MGAO WA UMEME TANESCO WAFUNGUKA, HABARI ZA KUZIMWA MITAMBO YA SONGAS, BWAWA LA MTERA YAKANUSHWA,
Shirika la umeme Tanesco limewatoa hofu
wanachi kwa kukanusha juu ya kuzimwa kwa mitambo ya Songas pamoja na
kukauka kwa bwala la Mtera, na kusisitiza...

TCRA: WALIOKIUKA MAADILI YA HABARI WAFUNGIWA
Mamlaka
ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia Radio mbili pamoja na
kipengele kimoja katika kipindi cha radioni kwa kile walichodai ni
ukiukwaji...

KUUNDWA TUME YA KUCHUNGUZA MATOKEO MABAYA KIDATO CHA NNE 2012, WAUNGWA MKONI, MPANGO WA SEDEP NAO WAGUSIWA
Kutokana
na serikali kuunda tume ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha
nne 2012, Profesa. Herne Joseph Mosha kutoka chuo kikuu cha Dar es
salaam,...

UHURU AMPIKU RAILA ODINGA KURA ZA AWALI UCHAGUZI MKUU KENYA
Kulia ni Raila Odinga, kushoto ni Uhuru Kenyatta
Habari
zilizotolewa kwenye mtandao wa Daily Nation wa Nchini Kenya masaa
machache yaliyopita yanaonyesha...

NINAHAKIKA HUYU SIMFANYAKAZI WA TANESCO IRINGA
Kwamujibu wa mtandao wa Jamii Forums, Fundi wa Shirika la Umeme Tanesco mkoani
Iringa, Selemani Mbuma akiwa amenaswa na umeme baada ya wenzake kuwasha...

TANZANIA WAMFAGILIA MWAI KIBAKI, SASA OLD BAGAMOYO ROAD YAPEWA JINALAKE
Barabara
ya Old Bagamoyo imebadilishwa jina rasmi nakuitwa jina la Raisi wa
Kenya anaye karibia kumaliza muda wake, Mwai Kibaki katika Uzinduzi
uliofanywa...
MATOKEO MABAYA KIDATO CHA NNE 2012, VYUO VYA UALIMU KUKOSA WANAFUNZI ELFU 50,000
Athari
za Matokeo ya Kidato cha IV 2012:
vyuo vingi kukosa wanafunzi wakudahili, kwa asilimia 50%,
huku Dira ya maendeleo ya taifa ya...

ASILIMIA 60 WALIOPATA SIFURI WAZIDI KUMLIZA MBATIA, ASISITIZA MITAALA NI TATIZO
Kushoto,Waziri wa Elimu Mhe.Shukuru Kawambwa, Kulia Naibu wake Mhe. Philip Mulugo
Kufuatia
matokeo mabaya ya mitihani kidato cha nne 2012, Mwenyekiti...

AMANI NI HAZINA KUBWA.....UMOJA WETU TUNAMPA NANI TANZANIA?
Tanzania ninchi iliyo shinda ukabila, tusikubali kumpa mtu amani yetu kwa garama ya mauti ya Taifa letu, Uzao wetu na Hazina yetupamoja na utuwetu kupotea,...

WIZARA YA ELIMU IAMISHIWE OFISI YA RAISI, WAZIRI WA ELIMU NAYE AWAJIBIKE KISA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2012: ZITTO ANENA
> SIFURI ZA MTISHA ZITTO
> ASISITIZA WIZARA YA ELIMU
IAMISHIWE OFISI YA RAISI
> AMTAKA WAZIRI AWAJIBISHWE
> AHOJI JUU YA ELIMU YA VYUO...

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 YATOKA, WASICHANA WABURUZWA, MATUSI NA UDANGANYIFU VYA JIRUDIA TENA
Matokeo
ya kidato cha nne 20012 yametoka hii leo, huku wasichana wakiwa
wameburuzwa sana na wavulana kwa kiwango cha ufaulu. Matokeo hayo
yametangazwa...

PINGAMIZI LINGINE KWA UHURU NA RUTO, UCHAGUZI MKUU KENYA
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Subscribe to:
Posts (Atom)