WATANZANIA WAKOSA MJADALA WABUNGENI LEO


Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mkutano wa 10, Limeanza leo Mkoani Dodoma, huku Watanzania wengi wakikosa mkutano huo kutokana na Shirika la Utangazaji la TBC kushindwa kurusha matangazo yanayoendelea kutokana na tatizo la Mitambo

Muda mfupi baada ya muda rasmi wa Bunge kuanza Shirika hilo lilitangaza na kuomba radhi kwakushindwa kurusha matangazo hayo ya moja kwa moja kutoka Bungeni Dodoma

Mkutano wa Bunge unatarajiwa kufanyika kwa wiki Mbili Mfululizo, ambapo maswala mbalimbali yanajadiliwa huku wengi wakisuburi kujua juu ya swala la Gesi litakavyo kwenda miongoni mwa viongozi wa Serikali.


EmoticonEmoticon