GESI YAZUA U CCM NA UCHADEMA, KISA KUWAITA WAANDAMANAJI NI WAHUNI

HUKU ziongozi wajuu wakiendelea na vikao hii leo, Mkoani Mtwara juu ya vurugu zilizojiri kwa wiki sasa kutokana na mzozo wa GESI kusafirishwa kuja Dar, Wabunge wa Chadema Wamtupia vibomu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Bwana. Nape Nnauye juu ya swala la Gesi

Wabunge hao ni Mhe. Zitto Zuberi Kabwe Mbunge wa Kigoma, na Mhe. Halima James Mdee Mbunge wa Jimbo la Kawe, wakimtupia vijembe Bwana Nape Nnauye ambaye ni Katibu wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM, Itkadi na Uenezi.

Vibomu hivyo ambavyo walikuwa wakitupiana kwenye mtandao wa TWITER, Nibaada ya Bwana Nape Nnauye kusema kuwa wanaofanya Vurugu hizo ni wahuni na sio matatizo ya mzozo wa Gesi unaoendelea

Baadhi ya hizo TWEETS za ziongozi hao hizi hapa, kutoka kwa kiongozi mmoja kwende kwa mwingine

 
 





                                       ***************************
 



EmoticonEmoticon