HABARI PICHA - MTWARA


waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mhe. Emanuel Nchimbi akitoka Masasi kuelekea Mtwara Mjini

Habari nilizo nazo hadi sasa

Mawaziri wapatao 6, wako Mkoani Mtwara kujadili matatizo ya Gesi, mawaziri hao ni pamoja na Waziri wa Ujenzi (Dkt. John P. Magufuli), Waziri wa Uchukuzi (Dkt. Harrison Mwakyembe), Waziri wa Viwanda na Biashara (Abdallah Kigoda), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwezeshaji na Uwekezaji, - (Dkt. Mary Nagu) na Waziri wa Elimu (Dkt. Shukuru Kawambwa).

Waziri Mkuu Mizengo Pinda bado yuko huko pamoja na Viongozi wa Kidini wa Kiislamu pamoja na wa Kikristo wakijaribu kutatua tatizo hilo. Wananchi wa Mtawara kwa wiki mbili sasa wamekuwa na mgogoro na Serikali juu ya mradi wa Bomba la Gesi.


EmoticonEmoticon