UFISADI WAIBUKIA GEITA, KAMATI YA BUNGE YABAINI

Kamati ya Bunge ya hesabu za Serikali za mitaa nchini, Leo imekataa kupokea hesabu za halmashauri ya wilaya ya Geita kutokana na mapungufu ambayo yanaviashiria vya uwepo wa ubadhirifu wa kiasi kikubwa cha Pesa

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mbunge wa Kinondoni Mhe. Idd Azan amesema kuwa mambo yanayotiliwashaka ni pamoja na fedha zaidi ya shilingi Milioni 800 zilizotumika katika ujenzi wa kituo cha mabasi cha Geita pamoja na kiasi cha shilingi Bilioni 1.9 za mradi mbalimbali ya maendeleo ya zilizotenga na jinsi zilivyotumika.


EmoticonEmoticon