MILLIONI 151 KUSAIDIA VIKUNDI VYA KIJAMII TANZANIA


AMBASSADOR OF USA IN TANZANIA. ALFONSO E.LENHARDT
Tanzania imekabidhiwa jumla ya Dola za Kimarekani $97,635 ambazo nisawa na Milioni 151 shilingi za Kitanzania iliku saidia sekta za Elimu, Maendeleo ya Uchumi, Fedha hizo zimetolewa na Nchi ya marekani leo jijini Dar es salaam

Akikabidhi misaada hiyo, Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana  Alfonso E. Lenhardt, 
amesema Fedha hizo ni seemu ya utekelezaji wa azma ya Nchi hiyo katika kushirikiana na nchi ya Tanzania ilikuleta maendeleo.

Kiasi hicho cha Fedha kitasaidia mashirika 11, yatakayo yanayo shugulika na Sekta za Elimu, Maendeleo ya Kiuchumi, Maji, Nishati ya umeme wa Jua ikiwa pamoja na mashirika ya wakimbizi nchini.

Vikundi hivyo viko kama ni Community Grants Program, Ambassador Special-Healp Fund, Taf, makundi ya kukabiliana na  VVU/UKIMWI. Lengo kubwa ikiwa nikuboresha maisha ya jamii za kitanzania

Tayari nchi ya marekani imetoa msaada kwa vikundi 49 nchini Tanzania vinavyo jishigulisha na matatizo ya kijaamii


EmoticonEmoticon