ALIYE KWAMISHA DHAMANA YA LULU HUYU HAPA

LULU AKIRUDISHWA MAHABUSU HII LEO
WAKATI Jaji  wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Zainabu Mruke akimwachia Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael Kimemeta (Lulu) kwa dhamana yenye masharti matano ,Msajili wa Mahakama Kuu Amir Msumi amekwamisha dhamana ya msanii huyo na kumlazimu kurudi rumande mpaka kesho.

Lulu awezi kurudi nyumbani ingawa ametimiza masharti ya dhamana, kwa sababu msajili wa mahakama ambaye ndiye mwenye mamlaka kisheria ya kuidhinisha dhamana yake  ayupo ofisini, kwa hiyo Lulu atarudishwa tena Mahakamani ilikusaini dokomenti zake za dhamana mbele ya Msajili wa Mahakama hiyo


EmoticonEmoticon