Gharama
za kupiga simu kutoka mtandao wa kampuni moja ya simu ya mkononi
kwenda mwingine nchini, kuanzia Machi Mosi mwaka huu zitashuka kutoka
sh.115...
WAKAZI wa Miji ya Tanga na Dodoma
wamepokea kwa hamasa kubwa zoezi la kuamia Digitali kuliko ilivyo
kuwa kwa wakazi wa Jiji la Dar es salaaam, kwani...
MUSWADA WA MAREKEBISHO YA MFUMO WA
MIKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU NCHINI UMEPITISHWA HII LEO
ILIKUWEZA KUFANYIWA MAREKEBISHO .Habari zaidi
Mhe....
HUKU ziongozi wajuu wakiendelea na vikao hii leo, Mkoani Mtwara juu ya vurugu zilizojiri kwa wiki sasa kutokana na mzozo wa GESI kusafirishwa kuja Dar,...
Kamati ya Bunge ya hesabu za Serikali za mitaa nchini, Leo imekataa kupokea hesabu za halmashauri ya wilaya ya Geita kutokana na mapungufu ambayo yanaviashiria...
SERIKALI ya Tanzania imekosa mfumo
wa uhakika wa kushugulikia malalamiko ya matukio ya ukiukwaji wa Haki za
binadamu hapa nchini, Mtandao wa watetezi...