UHURU AMPIKU RAILA ODINGA KURA ZA AWALI UCHAGUZI MKUU KENYA

Kulia ni Raila Odinga, kushoto ni Uhuru Kenyatta
Habari zilizotolewa kwenye mtandao wa Daily Nation wa Nchini Kenya masaa machache yaliyopita yanaonyesha kuwa Uhuru Kenyatta amepata kuranyingi hadi hivi sasa kuliko mpinzani wake mkubwa bwana Raila Odinga

Kura hizo zinazopigwa kupitia mtandao na taasisi ya utafiti ya SYNOVATE nchini kenya zinaonyesha kuwa mgombea huyo bwana Uhuru anaongoza kwa muda mchache sasa, tofauti na siku ya jana ambapo na siku zingine Raila Odinga alikuwa anaongoza kwa kura nyingi sana

kura zinaonyesha Uhuru Kenyatta akiwa na kura ya asilimia 44.8 huku Raila odinga akiwa na kura 44.4 ikiwa amemshinda kwa point 4 tu wakifuatiwa na wagombea wengine

NEW SYNOVATE poll shows Uhuru Kenyatta's ratings at 44.8%, higher than Raila Odinga's 44.4%. Mudavadi 5.2%, Kenneth 1.6%, Karua 0.8%.” kama ilivyo andikwa na taasisi hiyo ya utafiti

Liku chache zilizo pita bwana uhuru alitangaza kujitoa kwenye mdahalo wawagombea urais kenya kakile alichodai kuwa niupendeleo wawazi uliofanywa na waandishi wa habari walifanya nao mahojiano katika siku ya kwanza ya ya Feb. 11, ambapo swala la ukabila na kesi ya ICC inayomkabili Bwana Uhuru zilipewa nafasi kubwa.



Mdahalo mwingine unatarajiwa kufanyika tarehe 25.Feb.2013 ambapo kutakuwepo na wagombea 7 tu. Uhuru kenyatta nimiongoni mwa wakenya wanne wanaokabiliwa na kesi katika mahakama ya kivita ya ICC.


EmoticonEmoticon