KENYATTA AONA DALILI YA KESI YA ICC KUFUTWA


Mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha Jubilee bwana Uhuru Kenyatta anaye kabiliwa na mashitaka katika mahaka ya kimataifa ya ICC ametanhaza kesi yake haitafika popote na huenda ikafutiliwa mbali

Bwana Kenyatta amesema hayo baada ya mshtakiwa mwenzake katika kesi hiyo bwana Francis Mudhaura kueleza kuwa kesi inayo mkabili huenda ikatupiliwa mbali kwa kukosekana kwa ushahidi baada ya kesi hiyo kupigwa kalenda, kitu ambacho Kenyatta anaamini kwake pia itakuwa vivyo hivyo

"If Muthaura's case is collapsing, is that not an indication even mine will go nowhere? Alisema Bwana Kenyatta

Hatahivyo, Kauli ya Mwendesha mashtaka ya mahakama ya ICC aliosogeza mbele siku ya kusikilizwa kwa kesi hiyo kwa sababu alizo elezea kuwa ni NANUKUU “On Tuesday, Ms Bensouda said the April 10 trial start date could be pushed to August due to lack of courtrooms at The Hague and safety of witnesses.”

An August 2013 start date would therefore provide the defence with several months after receiving the delayed disclosure witnesses’ identities and unredacted materials to review those materials and conduct the associated preparations before trial begins,” she said.



Uhuru Kenyatta na mgombea mwenza Willium Ruto wanakabiliwa na mashtaka katika mahakama ya kimataifa ya ICC wakihusishwa na mahafuko ya baada ya uchaguzi yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007 ambapo watu zaidi ya Elfu moja walifariki Dunia huku wengine wakikimbia makazi yao.

Kampeni zikiwa zinaendelea miongoni mwa wagombea wa urais nchini Kenya, wapiga kura wa nchi hiyo watamchagua mgombea wamtakaye siku ya Jumatatu March 4th ikiwa imebaki siku 4 tu uchaguzi huo kufanyika


EmoticonEmoticon