AMANI NI HAZINA KUBWA.....UMOJA WETU TUNAMPA NANI TANZANIA?

Tanzania ninchi iliyo shinda ukabila, tusikubali kumpa mtu amani yetu kwa garama ya mauti ya Taifa letu, Uzao wetu na Hazina yetupamoja na utuwetu kupotea, Tumeushinda ukabila kwakishindo kwa nini udini utuvuruge kisha kugawa umoja wetu

Kwa miezi ya hivi karibuni kume kuwa na matukio ya uvunjifu wa amani yakiambatana na mauaji ya watu wasio kuwa na hatia yanayofanywa na watu wanajulikana kama " WAHUNI" ambao wanania yakulipeleka taifa pabaya....inasikitrisha kusema ni matukio ya kiimani au yakidini kutokana na wanaolengwa ni viongozi wa dini

Kila mtu anajua historia ya Taifa letu kwakuwa na amani na utulivu tangu uhuru, Hawa wahuni wachache wanaotaka kugeuza Tanzania kuwa Nigeria au nchinyingine yenye mfano sawa na huu. Kama ni "SIASA" Basi wapande majukwaani nafasi hipo, kama ni Harakati basi zitambulike taasisi iweya huru na haki kwa wote kuliko kuimiza machafuko na mauaji yasio na faida yoyote

Naamini kuwa, wanaotamani amani yetu na utulizu wetu wanatumiwa kutuvuruga, Yanayoendelea Tanzania Visiwani (Zanzibar) yanawengi nyuma yake. hao ni wachache tuliowengi hatuungi mkono vitendo hivi kuanzia Zanzibar hadi Bara kwani hatuna mafungamano nao na hii itawafanya hao wachache wasipate mwanya wakutuvuruga kabisa..tusikubali kupoteza utuwetu

Nijuacho sisi ni kitu kimoja Tanzania ni moja na ni nchi ya amani, tusikubali haya "AMANI'' ni utajiri mkubwa hata kuliko mengi tuliojaliwa ndani ya nchi yetu, kinachoendelea kaa mauaji na kuchoma kanisa sio ukombozi bali ni utumwa wawabaya wetu tuukatae tusishiriki nao bali tuongeze nguvu kukemea na kumaliza mauaji ili amani idumu kwetu

WARAKA WAKUPUUZWA HUU HAPA
Sijambo jema nimepita katika mitandao ya kijamaii nakupata waraka huu ambao siwaheri lakini haya tusiyape nafasi kwani sisi niwalinzi wa nchiyetu na wote tunawajibika..... PINGA ...PINGA DUMISHA AMANI TUSIUZE AMANI KWA ADUI WETU..TANZANIA MOJA (zanzibar and Tanganyika milele)


EmoticonEmoticon