HII SASA KALI, KIKAO CHA TANO BUNGE LAKUMI VIOJA VYAZIDI KUTAWALA



BUNGE LIMEAHIRISHWA HIVI SASA BAADA YA WABUNGE WA UPINZANI KUSIMAMA NA KUPIGA MAKOFI HUKU WAKIIMBA CCM..CCM..CMM KITENDO KILICHO POTEZA USIKIVU NA KUMFANYA NAIBU SPIKA JOB NDUGAI KUAHIRISHA KIKAO HICHO MPAKA HAPO KESHO

HOJA YA NDIYO ILIKUWA IKIENDELEA MPAKA BUNGE LINASITISHWA

HABARI ZA BUNGENI KIKAO CHA ASUBUHI LEO

SERIKALI imetoa sababu za kuwepo kwa mugawanyo katika ngazi ya shule hapa nchini na kueleza kuwa sio matabaka kama inavyodhaniwa kama vile shule za vipaji maalum na za kawaida pamoja na zile za kimataifa,  Akiongea leo Bungeni wakati akijibu swali la Mhe.i Nyangwine ambaye alitaka kujua uwepo wa matabaka hayo

Naibu waziri Wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Philip Mulugo alijibu kwa kusema kuwa, hali hiyo siomatabaka bali ni kuboresha Elimu ya Tanzania nakuwa na shule yenye rekodi nzuri katika elimu yetu kwa kufanya hivyo Tunakuwa nashule ambayo nimfano mzuri na wenye ufaulu wakiwango cha juu

“ Tunapo wakutanisha wanafunzi wenye vipaji kutoka shule mbalimbali lengo ni kutumia vipaji vyao kuvumbua vitu mbalimbali mfanoo vya kisayansi ikiwapamoja na kuwaendeleza kwaufaulu wajuu” Alisema Naibu huyo

Aidha akiongelea juu ya shule za kimataifa amesema, shule hizo zinapewa hadhi ya Kimataifa kulingana na mazingira yake, walimu wengi hutoka nje ya nchi silabasi yao nitofauti na zile za hapa nchini nakuwa zinagaguliwa chini ya kiwango cha ECIS na AISA mbavyo vivya kimataifa.

HOJA YA JAMES KIGWANGALA YAGEUZA BUNGE UWANJA WA NGONJERA NA MIPASHO

Hoja iliyowasilishwa Siku ya Ijumaa na Mhe. James Kigwangala juu ya kutaka  Serikali ianzishe mpango maalum wa kukuza Ajira kwa vijara kwa kuanzisha mfuko wa mikopo ya vijana waliowekeza kwenye elimu Kilimo na viwanda vyenye uhusiano wa moja kwa moja na kilimo.

Wakichangia Bungeni leo Mheshimiwa James Kingwangala na Mhe. Tundu Lisu wametupia na maneno ya kashfa na kupondeana wakati wakujadili hoja hiyo

“ Tundu Lisu nikigeugeu hojazake azieleweki alisikika akisema Kigwangala kasha mzozo huo ukiingiliwa na Naibu Spika Job Ngugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Fredrick Werema wakimtaka kuomba radhi juu ya kauli zake. Naye Tundu Lisu akiomba mwongovo wa Spika” yalijiri Bungeni wakati wakujadili hoja hiyo
Hatahivyo hoja hiyo ilipitishwa kwa kura za ndio kutoka miongoni mwa wabunge

JOHN MNYIKA ZIDI KULIA NA MAJI


Mheshimiwa John Mnyika Mbunge wa Ubungo leo amewasilisha Bungeni Hoja ya Maadhizio ya hatua za haraka za kuboresha upatikanaji wa maji taka katika jijila Dar es salaam, hoja hiyo iliyo[okewa kwa Mbinde na itaendele


EmoticonEmoticon