PINGAMIZI LINGINE KWA UHURU NA RUTO, UCHAGUZI MKUU KENYA

Kenya Human Rights Commission (KHRC) chairman Makau Mutua (right) and Executive Director Atsango Chesoni (left) during a press conference in Nairobi February 16, 2013. KHRC said it will not relent in ensuring Uhuru Kenyatta and William Ruto do not assume office if elected. ANTHONY OMUYA


HASASI za kiraia zinazo tetea haki za binadamu nchini Kenya, zimewakilisha pingamizi jingine kuwazuia Willium Ruto na Uhuru Kenyata ambao ni washukiwa wa mauaji katika mahakama ya ICC watakaogombea urais wan chi hiyo, kuwa wakishinda hawata kubali waingie ofisini nakufanya kazi za kiserikali
 
Habari zilizoandikwa na vyombo vya habari nchini Humo zinasema, Hasasi hizo zimetoa mapingamizi yao, kwa mara nyingine baada ya Mahakama Kuu ya Kenya kushindwa kutoa uamuzi kama wawili hao wanaruhusiwa kugombea nafasi ya uraisi ama laa, hali inayo wapa nafasi kubwa wagombea hao kitukinacho pingwa vikali na hasasi hizo

Kushoto ni Uhuru Kenyata, kulia ni Willium Ruto

Hasasi hizo zinazojulikana kama The Kenya Human Right Commission (KHRC), na Kenyans For Peace with Trueth and Justice (KPTJ) wamepinga uamuzi wa mahakama kwakile walicho daia inaongoza kinyume na maslahi ya jamii

Uhuru Kenyata na Willium Ruto,ambao niwagombea katika wa uraisi katika uchaguzi mkuu wan chi hiyo ambao unatarajiwa kufanyika wikimbili zijazo tarehe 4. 3. 2013, huku wakiwa wanatuhumiwa katika mahakama ya uhalifu ya ICC kwa kuhusika na gasia zilizoshuhudiwa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007


EmoticonEmoticon