WITNEY HUSTON, TOP GOOGLE SEARCH OF THE YEAR 2012


Bado nakuletea mfululizo wa matokeo ya mtandao maarufu wa Google, Ambapo leo ni tarifa kuusu Marehemu Witney Houston.

Kwa mujibu wa mtandao huo, marehemu Witney Houston ndiye Mtu aliyezunja recodi ya kutafutwa au kuuliziwa Zaidi Dunia, lakini kwa Africa Mashariki Ripoti ineongelea nchi ya Kenya na Uganda,

Ambapo Witney aliongoza kutafutwa zaidi kuliko watu wote ndani ya nchi hizo, za Kenya na Uganda.

Witney alifariki February 2012. Lakini bado watu wengi Duniani hupenda kujua kuusu habari zake





EmoticonEmoticon