KENYA YA SHEHEREKEA JAMUHURI DAY 

Rais Mwai Kibaki leo amewaongoza wananchi wa Kenya katika kusherehekea sikukuu ya Jamuhuri ya nchi hiyo, ikiwa ni miaka 49 tangu nchi hiyo kupokea uhuru wake kutoka mikononi mwa Wakoloni

Hii itakuwa ni shereehe ya mwisho chini ya utawala wa kikatiba wa nchihiyo, kwa rais Mwai Kibaki kushiriki sherehe za kiserikali. Ikiwa umebaki muda mfupi kwa rais huyo kumaliza muda wake.

Kenya ilipata uhuru wake taree 12 ya mwezi wa 12 Mwaka 1963 kutoka kwa Mwingereza, mpaka hivi sasa nchi hiyo ina miaka 49 tangu kupata uhuru huo

Kutokana na Sherehe hizo Wananchi wa Kenya wameaswa kuendeleza amani na eshima ya nchi yao, kutunza usalama wa nchi pamoja na kuinua uchumu wa nchi yao.

Hatahivyo, kume kuwa na kampeni zinazoendelea nchini humo ambapo uchaguzi mkuu utafanyika March 2013.


EmoticonEmoticon