MAPYA YA IBUKA KIFO CHA MTU ALIYE TAKA KUCHOMA NYUMBA YA CHAMELEONE, MSALA WA MGEUKIA YEYE

 
 
Baba mzazi wa mtu aliyejulikana kama Robert Karamagi ambaye alifariki kutokana na majeraha ya kuungua kwa moto baada ya kujaribu kuchoma nyumba ya msanii Jose Chameleone wa Uganda, yameibuka mapya baada ya Familia ya mtu huyo judai kuwa Marehemu alichomwa na moto wa Petroli

Karamagi aliyekuwa na umri wa miaka 27 alifariki katika hospitali ya Mulago, baada ya kujeruhiwa vibaya na moto nyumbani kwa Chameleone, Huku mke wa msanii huyo akisisitiza kuwa mareemu alijiunguza mwenyewe kwa moto

Baba wa marehemu  Robert, Meja Benedict Kyamanywa amepingana na ripoti kuwa mwanawe alijichoma moto mwenyewe. na kuongeza kuwa mwanae anajulikana katika kijiji kizima kuwa ni kichaa huku akisisitiza kuwa swala hilo Msanii Jose Chameleone analijua


EmoticonEmoticon