IDADI YA WATANZANIA KUJULIKANA LEO


RAISI wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dr. Jakaya Mrisho Kikwete leo atatoa matokea ya Idadi ya Watu nchini, uliofanyika kwenye SENSA 2012 tangu August 26 mwaka huu. Mkutano unaofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam

Idadi ya awali ya watu Tanzania ilikuwa Milioni 42 baada ya sensa iliyofanyika mwaka 2002. matokeo mapya kutajwa leo ilikujua kama watanzania wameongezeka au laa kutoka kwenye idadi iliyo pita


EmoticonEmoticon