NASA YAKANUSHA MWISHO WA DUNIA NA KUWEPO KWA GIZA KWA SIKU TATU


MWISHO WA DUNIA NI LEO, KWA MUJIBU WA MAYAN

"THE MAYAN   CALENDER END'S 21.2012"

PICHA INAONYESHA JINSI DUNIA ITAKAVYO ARIBIWA

Mamia ya watu wametahamaki, wakisubiri kuona mwisho wa Dunia, ambao utatokea hii leo kwa mujibu wa Kalenda ya waumino wa Mayan, ambao wanapatikana nchini ya Mecxico 
 
Picha inaonyesha waumini wa Mayan
Waumini wa Dini ya Mayan ndio wanaamini juu ya taree hii, kuwa taree ya mwisho imefika kwamujibu wa kalenda yao ambayo imeishia leo taree 21, Dec 2012.

Nawame kuwa wakiita kwa majina mengi,  kama yafuatayo "This time now has many names "The Time of Trial on Earth," "Judgement Day," "The Time of Great Purification," "The End of this Creation," "The Quickening," "The End of Time as We Know It," "The Shift of the Ages," "The Apocalypse" and "Armageddon". hao ni Mayans

Kwa mujibu wa NASA(National Aeronautics and Space Administration), ambayo ipochini ya Taifa la Marekani, ambao wanahusika na maswala ya utafiti wa Anga, wamepinga kutokuwepo kwa mwisho wa Dunia na kuelezea kuwa tetesi za kuwepo kwa giza kwa siku tatu pia ni uvumi na imani tu

Kuna uvumi, wa dunia kukumbwa na giza kwa siku tatu kuanzia taree 23 Dec.2012 mpaka 25 Dec.2012, kitu ambacho pia siyo kweli.

Hatahivyo umoja wa wanajimu Duniani, bado aujasema chochote juu ya imani ya Mayani, kama kweli leo itakuwa ni mwisho wa Dunia ama sio mwisho wa Dunia

 soma zaidi:  2012apocalypse.net/
                https://www.nasa.gov/topics/earth/features/2012.htm#mayan


EmoticonEmoticon