PICHA YA SIKUU

IKIMUNYESHA MWANAJESHI AKIWA PAMOJA NA WANACHAMA WA CHADEMA, GODBLESS LEMA NA NASARI WAKIWA WANASHANGILIA

PICHA HII INAKUFUNDISHA NINI, KAMA WANAJESHI HAWARUUSIWI KUWA WAFUASI WA KISIASA.. JE NIPOZI LA PICHA TU AU TUSAIDIANE WADAU

Picha hii imepigwa na kuchapishwa na Gazeti la Mwananchi leo

Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha akiwa na wabunge wa Chadema,Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na wabunge hao katika Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara jana.


EmoticonEmoticon