WALIO ONJA JOTO YA JIWE 2012, NA WATANZANIA KUWAOMBEA SANA KWA MUNGU ILI AWALINDE NA KUWAEPUSHA NA MABAYA ZAIDI HAWA HAPA

STEVEN ULIMBOKA
Huyu alikuwa Raisi wa Madaktari nchini, alijeruhiwa vibaya na nusura kuuwawa na watu wasio julikana taree 
************************************************************************************
ELIZABETH MICHAEL A.K.A LULU 

Msanii Lulu ni miongoni mwa watu walio onja joto la jiwe na kuombewa sana na watanzania wote iliaweze kuepuka mkosi wa kwenda jela kwa kosa la kuua bila kukusudia msanii mwenzake mareemu Steven Kanumba.


***********************************************************************************
     Wengine ni Sajuki, Vengu na Kajala hawapo pichani.. hawa wote ni wasanii wa kibongo ambao nao watanzania waliwatupia macho na kutoa msaada wao kwa namna moja au nyingine


EmoticonEmoticon