TETESI ZA MAJI KUPANDA  BEI ZA KANUSHWA


Licha ya Wananchi wengi kulalamikia tozo za maji kwa hivi sasa, Mkurugenzi mkuu wa DAWASCO Bw. Jackson Midala amekanusha kuwepo kwa hali hiyo na kuelezea kuwa wananchi wamekuwa wakichanganya bei hizo kutokana na matumizi yao

Bwana.Midala amesema kwa mwezi uliopita kumekuwepo kwa matumizi makubwa ya maji kwa Wananchi kutokana na hali ya hewa, kwani kiwango cha joto kimechangia kiasi kukubwa cha matumizi ya maji kuwa juu na mita za wananchi kusoma bei ya juu tofauti na miezi mingine ambayo hali ya hewa niyabaridi

Hatahivyo hali imekuwa tofauti kwa wananchi wanao tumia maji hayo, kwa kudai kuwa Lita moja ya maji imepanga hivyo kufanya bei ya maji kupanda, lakini hayo yamekanushwa

posted by 

Samson Nelson



EmoticonEmoticon