WATU 11 WAJERUHIWA KATIKA AJALI,HUKU MMOJA AKIFARIKI PAPOHAPO BAADA YA AJALI KUTOKEA MAENEO YA NZOWE MBEYA.

Daladala mbili  zimegongwa na Roli  aina ya Lelyand Daf ambalo lilifeli breki hivyo kwenda kuparamia daladala hizo ambazo zilikuwa zinashusha abiria kwenye kituo cha njia panda itende jijini mbeya yaani barabara kuu iendayo Tunduma















Baadhi ya majeruhi wakipata matibabu katika hospitali ya rufaa mbeya

Baadhi ya wananchi wakimiminika kwenda waona ndugu zao waliopata ajali





Habari na Picha zote kwa hisani ya
http://mbeyayetu.blogspot.com/


EmoticonEmoticon