WAZIRI AIBUKIA WAZO, KISA MGOGORO WA ARDHI


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka amewatembelea wakazi wa Wazohill na Bunju kwa lengo la kuwasikiliza kuhusu kero yao ya muda mrefu ya kugombania ardhi na kiwanda cha saruji cha Twiga(Twiga Cement)

Akizungumza na wananchi katika eneo hilo Prof Tibaijuka alisemazote mbili ilikupata maamuzi sahii yasiyo pendelea upande wowote, na kuwaomba wananchi kutoa ushirikiano pindi uchunguzi utapokuwa unaendelea wa nini kifanyike juu ya mgogoro huo.Alisema Tibaijuka


Naye Diwani wa kata ya Bunju. Majisafi Sharifu, alisema kero hiyo ya ardhi niya muda mrefu, na kusisitiza kuwepo kwa suluhu ya kudumu, na kuwepo kwa ukweli wa swala hilo ili wananchi waendelee na shuguli za uzalishaji

Wananchi wa eneo hilo waliomba kuwepo kwa uwazi na ukweli katika uchunguzi utakaofanyika juu ya mgogoro huo. Na kuitaka serikali kuacha kujali maslahi ya watu wachache na kujali maslahi ya wananchi ambao nikundi kubwa.


EmoticonEmoticon