PICHA YA SIKU


KUTOKA KUSHOTO NI NOAH LALTAIKA MTANGAZAJI WA KURASA (EATV) KATIKATI NI WILBROD SLAAA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA CHADEMA, KULIA NI CEO WA CAMPASVISION BLOG LOYCE JOSEPH

Picha ya siku, ambayo inamuonyesha Katibu Mkuu wa chama cha Demokrasia na maendeleo Mheshimiwa Dk.Wilbrod Slaa pamoja na Mtangazaji wa kipindi cha KURASA kinachorushwa na Televisheni ya EATV, pamoja na Reseacher wa EATV na CEO wa Blog ya CAMPASVISION Miss Loyce Akoth Joseph. 

Wanahabari tukiwa mzigoni kusaka habari, kuna muda tunakutana na kufanya kazi kwa karibu sana na viongozi wetu

picha zaidi ingia
Link ya Photo 


EmoticonEmoticon