AJALI YA MOTO BONDE LA MPUNGA MIKOCHENI,  CHANZO AKIJAJULIKANA

TUJIPANGE wabongo pindi tunapo jenga nyumba, kuna majanga yasiyo zuilika kama moto.Nyumba zetu nyingi gari la Fire aliwezi kufika kabisa
NYUMBA iliyo ungua maeneo ya Bonde la Mpunga Mikocheni, karibu kabisa na Myfare Plaza,wananchi walilitupia gari la fire mawe baada ya kufika kwenye eneo la tukio na kukuta tayari moto umezimwa na wananchi

 Nyumba iliyokuwa inaungua ilikuwa ya familia ya Mzee Hassan Magaza, iliyopo mikocheni, mtaa wa bonde la mpunga ambapo anakaa pamoja na bintiyake Reema Hasan Magaza na kijana wake Bakari Hasan Magaza. Moto ulianza Majira ya jioni ila chanzo cha moto hakikujulikana kwakuwa nyumba hiyo aina Umeme.

Kutokana na ufinyu wa eneo la nyumba hiyo, Ililazimu wanaotaka kuokoa mali za nyumba hiyo kuvunja nyumba ya Mbele ilikuokoa malizisi teketee kwa Moto na kuokoa nyumba za jirani kutoshika moto huo



Polisi wa kituo cha Polisi Oyster Bay, wakichukua maelezo ya tukio hilo, miongoni mwa Polisi walikuwepo katika tukio hilo ni Inspector Filbert wa kituo hicho.

Picha zote kwa hisani ya 
Sofia


EmoticonEmoticon