MUONEKANO WA MADARAJA MATATU KATIKA BARABARA YA MWENGE-TEGETA

Madaraja matatu ambayo yanajengwa 
 katika barabara ya New Bagamoyo Road
 kuanzia Mwenge hadi Tegeta Kibaoni 
 yamefikia hatua nzuri hadi hivi sasa.


Daraja la Tegeta
 
Maadaraja hayo ni ya maeneo ya Lugalo Jeshini,
 Mbezi Bondeni pamoja na Tegeta 
 
Daraja lililoko maeneo ya Mbezi Bondeni

 
Barabara hiyo ya njia mbili, inajengwa
 kwa kilometa 12.9, ujenzi wake unafanywa na
 kampuni ya Konoike. Garama za ujenzi wa 
 barabara hiyo unafanywa na serikali ya Japan 
 na umegarimu kiasi cha shilingi Bilioni 88

Daraja la Lugalo karibu kabisa na Mwenge


 Ujenzi wa barabara hiyo ulianza April, 04  Mwaka
huu 2012, na unatarajiwa kumalizika 
 March mwaka 2013




Wananchi wa kiendelea na shuguli mbalimbali kando kando ya barabara hiyo


EmoticonEmoticon