KUAMIA DIGITALI, WANANCHI WATAKIWA KUONDOA HOFU JUU YA MPANGO HUO



Watanzania watakiwa kuondokana na hofu ya mabadiliko ya Teknologia ya analogia kwenda Digitalu ifikapo Taree 31. mwezi huu

Hayo yamesemwa na Mkuruigenzi Mkuu wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA Prof. John Nkoma alipokuwa akizungumza katika kongamano la kila mwaka la Annual Broadcaster Meeting jijini Da es Salaam.

Aidha amesema watanzania watapata kutazama Station Tano Bure bila malipo Ambazo ni ITV,EATV,TBC,STAR TV pamoja na CHANEL TEN, kwa station zilizo baki mwananchi atatumia Fedha kupitia king'amuzi chaeke ilikupata tarifa, kwa vituo vilivyo baki ni vya Burudani.Alisema Prof. John Nkono


EmoticonEmoticon