SHOW LOVE “NELSON MANDELA INTERNATIONAL DAY”


Wananchi wa Afrika kusini hii leo wame sherehekea siku ya kuzaliwa kwa Raisi wao wa kwanza bwana Nelson Mandela kwa kufanya shuguli mbalimbali za kijamii.  


Siku hii ya mandela ni miongoni mwa siku kuu za kidunia mbayo watu wanahimizwa kutoa kwa kusaida jamii inayo wazunguka na kufanya mema.


Maeneo mbalimbali ya Miji mkubwa nchini Afrika Kusini imepambwa kwa mabango ya picha za raisi huyo kama ishara ya kumuenzi


Wananchi wa Afrika kusini wametumia dadika 65 kwaajili ya kusaida watu mbalimbali


EmoticonEmoticon