BENKI YA NMB YAFADHILI MAAFISA MAENDELEO WA VIJANA NCHI NZIMA

Waziri wa Habari, Vijana, Tamaduni na Michezo Dkt. Fenera Mkandara akiongea katika semina hiyo 

Benki ya NMB imefadhili semina kubwa iliyohusisha maafisa maendeleo wa vijana kutoka nchi nzima kwa lengo la kujadili maendeleo ya vijana kuanzia ngazi ya halmashauri ilikuweza kuimarisha utendaji kazi kwa vijana wa mikoa na Wilaya



Semina hiyo ya siku mbili ilifanyika katika kumbi za uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, ambapo Waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Mhe. Dkt Fenera Mukangara ambaye naye aliishukuu Benki hiyo kwa ufadhili mkubwa na kujitolea ili kufanikisha semina hiyo.

Meneja mahusiano wa NMB Josephine Kulwa akiongea katika semina hiyo
 Hivi karibuni Benki ya NMB ilifungua milango kwa wenye mahitaji ya mikopo ya bei rahisi na nafuu, huku wakisisitiza kuwa wana nunua mikopo ilikuongeza uduma kwa wateja wao


EmoticonEmoticon