A NEW CAR DESIGNED IN IRINGA TANZANIA

Keneth Mwangoka akiwa ndani ya Gari lake
Gari lenye namba za usajili T 605 ADU Toyota Actaso mali ya Keneth Joseph Mwangoka kutoka mkoa wa Iringa- Tanzania imekuwa kivutio kikubwa kutokana na Dizain yake, Gari limegarimu Millioni 8 kuikamilisha kwani inatumia baadhi ya vifaa kutoka Dukani


Gari hilo lililo lililoundwa na Vyuma chakavu pamoja na mbao na urembo mwingine wakawaida kutengeneza Bodi ya gari hiyo. Akiongea na Blog hii mmiliki wake bwana Keneth amesema kwa mtu yeyote atakaye hitaji kutengenezewa gari kama hiyo wawasiliane kwa simu no. 0754 005004 


Gari hiyo imeundwa kwa kutumia Engine ya Toyota, matairi ya kawaida huku spea zingine zikiwa ni za dukani na ameiundwa kwa muda wa miezi 6. Lengo la Keneth ni kuwataka vijana hasa ambao hawana ajira kuwa wabunifu kuliko kukaa tuu mitaani


EmoticonEmoticon