TO ALL MOTHERS



Nawatakia kila heri na furaha kina mama wote wa Tanzania katika siku ya maadhimisho ya wanawake Duniani, ambayo hufanyika mara moja kil mwaka.

Wanawake wa Tanzania tuna changamoto nyingi sana ila MUNGU atulinde atupe moyo wa kusonga mbele.


Kwaniaba ya Bunju Ladies Group Nawatakia kila lakheri Wanawake wote Tanzania........

Pole ziende kwa mama yangu mpenzi Bi. Josephine Ogalo ambaye yuko msibani Musoma lakini na mpenda sana 

                         HAPPY MOTHERS DAY


EmoticonEmoticon