MANGWAIR AFARIKI DUNIA AFRIKA KUSINI,



Msanii wa Bongo Fleva Albert Mangwair amefariki dunia akiwa Afrika kusini ambapo alikuwa akifanya shoo za muziki akiwa na msanii mwenzake Bushoke

Habari ambazo Blog hii imezipata, kutoka kwa kijana mmoja aliye jitambulisha kwa jina la Erick Mwakasila akiwa huko Afrika kusini ambaye ndiye ametoa taarifa za kifo hicho 

Erick amesema kuwa Ngwea alifanya shoo jana usiku huko Johenesbug, lakini tangu alipolala hakuamka mpaka saa 9 mchama walipoambiwa kuwa amefariki Dunia katika Hospitali ya St. Hellen huko Afrika Kusini

Blog hii inajaribu kutafuta ndugu wa karibu wa msanii huyo pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Afrika kusini ili kupata uhakika zaidi wa tukio hilo kwani chanzo cha kifo chake bado hakija julikana


EmoticonEmoticon