BUNGE LA HAIRISHWA, WANAJESHI WA 5 NAO WAFARIKI DUNIA WAKIELEKEA MTWARA



Bunge la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania lime ahirishwa kutokana na vurugu zinazoendelea mkoani Twarahapo ambapo Serikali inatakiwa kuja kueleze juu ya kilicho tokea huko Mtwara hapo kesho

Hii le Bungeni Mjadala wa hotuba ya Wazari ya madini ili ikiendelea kujadiliwa, mpaka tena hapo kesho 

Habari zaidi zilizo ifikia Blog hii, Jumla ya wanajeshi Wa 5 wamekufa kwenye ajali wakielekea Mtwara wakitokea nachingwea.


EmoticonEmoticon