SHULE ZA MANISPAA YA ILALA ZINA UPUNGUFU WA MADAWATI ELFU 88,

http://4.bp.blogspot.com/-9itOUcDgOUw/TjLgioLx96I/AAAAAAAABv4/NNWZGyzdOgw/s1600/UHABA%2BWA%2BMADAWATI%2BSHULE%2BYA%2BMSINGI%2BMWERE%2BB%2BPIX%2BNO%2B0000000000000.jpg

Kutokana na tatizo la upungufu wa madawati katika shule za msingi na sekondari katika manispaa ya Ilala, imemlazimu meya wa manispaa hiyo bwana Jerry Slaa kuanzisha kampeni ya kuchangia madawati ili kuondokana na tatizo hilo



http://3.bp.blogspot.com/-bWLNmaB8n0A/TdYf6CBOb3I/AAAAAAAAAIE/U933x1DkxsI/s1600/1Wanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bya%2BMsingi%2BMvumi%2B%2B%25288%2529.JPG


Manispaa hiyo inaupungufu wa madawati Elfu 44,151 kwa shule za msingi zipatazo 105, huku shule za sekondary 49 zikiwa na upungufu wa madawati Elfu 14,354 jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya elimu katila manispaa hiyo



http://farm9.staticflickr.com/8142/7412822258_64cdf5a4b5_z.jpg


Aidha wingi wa wanafunzi umeelezwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazo hatarisha maendeleo ya elimu kwani wanafunzi wengi katika manispaa hiyo hukaa chini wakati wakiwa darasani. 




EmoticonEmoticon