MILIKI BIASHARA YAKO NA TIGO- BAJAJI ZA ZIDI KUTOLEWA

Kampuni ya simu za mkononi ya TIGO imeendelea kuwamilikisha
biashara wateja wake kupitia promosheni yake ya Miliki biashara yako ambapo kila mshindi wa Droo hiyo anajinyakulia bajaji

Tayari Bajai 10 zimegawia huku zikibaki bajaji 50 ambazo nazo zitagawia kwa washindi wa shindalo hilo, unachotakiwa kufanya nikuweka kiasi cha shilingi 1000 tu kwenye simu yako ilikuibuka mshindi
 


Hapo jana washindi wa 5 walikabidhiwa Bajaji zao huko Mbagala miongoni mwao walikuwepo wasichana 2 ambao walifurahi sana kumiliki biashara zao, William Mpinga mneja chapa wa Tigo amesema kuwa hawa niwashindi wa wiki ya pili ya shindano hilo

Washindi wa wiki ya pili ni Evelyn Elisalia Massawe mkazi wa Kimara umri miaka 22, pamoja na Usabela Edward Msemo mkazi wa Makumbusho, Khalid Jafari Gomani mkazi wa mabibo
William amesema kuna washindi wawili wapo mikoani hivyo Tigo itawafikia kwaajili ya kuwa kabidhi zawadi zao za Bajaj lengo ikiwa ni kuwawezesha wateja wao kumiliki biashara zaio na TIGO.




EmoticonEmoticon