Mamlaka wa udhibiti wa nishati na maji EWURA hii leo jijini Dar es salaam wametangaza kupanda kwa bei za umeme ifikapo Januari 1. 2014 kutoka asilimia...
Serikali ya Tanzania inajipanga kuchukua hatua endelevu katika kuhakikisha fedha kwa ajili ya maendeleo zinazotengwa kwa kila sekta zinafikia walengwa...
Rais Uhuru Kenyatta jana amewaongoza wananchi wa Kenya kusherehekea miaka 50 ya uhuru, na kuwataka kudumisha umoja na moyo wa uzalendo ulionyeshwa na...
Tume ya taifa ya uchaguzi nchini Tanzania imesema ina uhuru wa kutosha kuendesha chaguzi mbali mbali ikiwamo kura ya maoni ya katiba mpya, tofauti na...
Takribani ekari laki nne za misitu huteketea kila mwaka nchini Tanzania, kutokana na vitendo mbali mbali vya uharibifu wa mazingira unaoendana na uchomaji...
Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za rambirambi Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini na kupitia...
MZEE mmoja
kigogo wa biashara ya kuuza mbao jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alinaswa
kitandani ndani ya chumba akiwa na mrembo aliyedaiwa ni mwanafunzi...
Juzi na jana
kulikuwa na habari katika gazeti na mitandao mingi kuwa Wastara na Bond Bin
Suleiman ni wapenzi na wamekuwa wakifanya siri sana huo uhusiano...
Mwanamuziki wa P square, Peter Okoye ameoneshwa kushangazwa na taarifa kwamba mwanamuziki wa bongo fleva Naseeb Abdul alihudhuria harusi yake hivi karibuni...
Kundi la P-SQUARE lililotua jana nchini Tanzania toka Nigeria kwa ajili ya tamasha kubwa litakalofanyika siku ya kesho pale Leaders club wameahidi kutoa...
Kikosi cha Zimbabwe kinawasili leo mchana (Novemba 18 mwaka huu) kuikabili Taifa Stars katika mechi ya Kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa...
My number one singer Diamond Platinumz ambaye yupo Nigeria kwa sasa akiwa anafanya remix ya My Number One akiwa anashirikiana na Davido. Akiwa Nchini...
Waziri mkuu wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda amepewa siku 7 ili kutoa hadharani ripoti ya tume ya aliyounda kuchunguza matokeo ya kidato cha nne mwaka...
Shirika la umeme nchini Tanzania
Tanesco limetangaza kuwepo kwa umeme wa mgao kuanzia tarehe16 mpaka
26 mwezi huu kutokana na upungufu wa gesi katika...
Tanzania
ni miongoni mwa nchi tano za Afrika ambazo zimejitolea kutoa askari
wa kuunda Kikosi cha Kukabiliana na Migogoro ya Kijeshi Barani Afrika
cha...