VIJANA WAASWA KUMILIKI NYUMBA

Vijana nchini wametakiwa kumiliki nyumba kupia utaratibu nafuu wa nyumba za mikopo na kuachana na mtindo wa sasa ambapo kila kijana anataka kumiliki nyumba kwa kununua ardhi na kusimamia ujenzi yeye mwenyewe


hayo yamesemwa na Waziri wa Ardhi, Nyumna na Maendeleo ya Makazi Mhe. Pfor. Anna Tibaijuka wakati akizindua nyumba za kisasa zinazojengwa na shirika la nyumba la Taifa NHC, mtaa wa Ilala Mchikichini jijini Dar es SALAAM


Prof.Anna Tibaijuka, amesema Vijana wameshindwa kumiliki nyumba wenyewe kutokana na kasumba ya kutaka kununua kiwanja, Vifaa vya ujenzi na kusimamia ujenzi hatua ambayo Waziri huyo ametaja kuwa niya garama



EmoticonEmoticon