Ripoti ya Ngwilizi yayeyuka, ushadidi wakosekana

Hakuna ushahidi uliobainika wakuweza kuwatia hatia wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Wizara ya Nishati na Madini iliyo vunjwa na spika wa Bunge bi. Anne Makinda kwa tuhuma za rushwa baada ya walalamikaji kushindwa kutoa ushahidi wa tuhuma hizo.


Akiongea Bungeni leo alipokuwa akifunga vikao vya Bunge la Miswada, Spika Makinda amesema katibu Mkuu wa Nishati na Madini Mhe. Eliakimu Maswi amelidhalilisha Bunge kwa kutoa tuhuma zilizo shindwa kudhibitika kisheria, nakumtaka kuomba radhi

Aidha Spika, alimtaka Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Prof, Sospiter Muhongo kuwa makini nakauli anazozitoa Bungeni.


Tuhuma za Rushwa ziliiandama Kamati ya Kudumu ya Nishati na Madini, daada ya kuwepo kwa madai kuwa Wajumbe wake waliongwa fedha na Wafanya biashara wa mafuta ilikufanikisha kupitisha bajeti ya Fedha ya Mwaka 2012/2013.


Kinacho acha Maswali nikwanini Spika haja weka wazi kama kamati ile itaundwa upya au itaendelea na kazi yake


EmoticonEmoticon