Waziri wa US,Hillary Clinton kuanza Mazungumzo ya Amani kati ya Israel na Palestina


Waziri wa Mambo ya Mambo ya Nnje ya Marekani Bi.Hillary Clinton leo atatembelea Israeli, Ramallah ilikuendeleza mazungumzo ya amani kutokana na masambulizi ya Gaza yaliyo fanywa na Israel
 

Jeshi la Israeli, limeuwa takribani watu 110 wengi wao wakiwa ni watoto na wanawake, huku watu 900 wakiwa wame jeruhiwa vibaya.Majeshi ya Israeli yaliongeza kuwa walituma nguvu nyingi katika uvamizi huo



Hawa ni baadhi ya watoto ambao wamefichwa kutokana na mashambulio hayo ya Israeli didhi ya Wapalestina waishio maeneo ya Gaza





EmoticonEmoticon