Fainali za Epiq Bongo Star Search leo Diamond Jubilee



Leo ndio siku ya fainali ya mashiondano ya EPIQ BONGO STAR SEARCH, ambayo yatafanyika usiku waleo katika ukumbi wa Diamond Jubilee. Mshindi atapewa kiasi cha Milioni 50 taslim


haya nimashindano ya sita tangu kuanzishwa na yamekuwa chachu ya kukuza muziki nchini, kwa kuwapa nafasi wale ambao hawana uwezo wakusimama wenyewe kimuziki pamoja na kuwapa kipato kama vijana.


EmoticonEmoticon