TANZANIA YAONGOZA KUTOA RASIMU YA VIWANGO VYA UBORA

Tanzania yawa ya kwanza kutoa rasimu ya Viwango vya ubora kwa bidhaa zenye jamii ya nafaka na kunde,
miongoni mwa nchi za Afrika Mashariki.ambayo itawawezesha wafanya biashara nchini kuuza hadi soko la kimataifa


Rasimu hiyo ambayo inalenga hasa bidhaa za Bogamboga na Mazao ya Mbegumbegu, itawawezesha watengenezaji na wazalishaji wa bidhaa hizo kuwa na viwango ambavyo vinaidhinisha matumizi salama kwa binadamu


Aidha wafanya biashara wa bidhaa hiyo wamepewa mafunzo na shirika la viwango Tanzania TBS ilikukidhi vigezo na viwango ambavyo vimewekwa na shirika hilo



EmoticonEmoticon