MPANGO WA DAMU SALAMA WAPUNGUZA V.V.U

     

Mpango wa damu salama nchini, umepunguza kiwango cha virusi vya Ukimwi kutoka asilimia 7% mpaka 1% kwa mwaka huu. Meneja Mradi wa Mpango wa Damu Salama nchini, Dr. Efesper Nkya, amesema mpaka kufikia mwisho wa mwaka huu maambukizi yatafikia chini ya asilimia moja,


Hatahivyo Meneja huyo amewataka vijana kujitokeza kwa wingi na kuchangia damu, kwani Benki ya Damu nchini inaupungufu mkubwa wa Damu, na kusisitiza kuwa utoaji damu nijukumu la kilamtu


EmoticonEmoticon