UCHIMBAJI WA URENIUM 
                WAZIDI KUPINGWA

SIKU chache baada ya kituo cha haki za binadamu LHRC, kutoa msimamo wake wa kupinga mpango wa serikali kuchimba madini aina ya URENIUM, mbunge wa Ubungo ambaye pia ni Waziri kimvuli wa Nishati na Madini, amejitokeza na kupinga uchimbaji wa madini hayo
Mnyika amesema, uchimbaji wa madini ya Urenium utasababisha nchi kuingia vitani, kwani nchi zote zinazo chimba madini hayo zina mogogoro ya kizita. na kusisitiza kuwa serikali aina budi kutilia mkazo swala hilo
Aidha Mnyika amesema, nchi kama Congo inazongwa na migogoro ya Kivita kutokana na kuwepo kwa madini hayo ambayo nigali sana Duniani na Utumika kutengenezea Chemicali na Silaha za Kivita kama Nuclear


EmoticonEmoticon