Diamond ahudhuria harusi ya Peter wa P-Square

My number one singer Diamond Platinumz ambaye yupo Nigeria kwa sasa akiwa anafanya remix ya My Number One akiwa anashirikiana na Davido. Akiwa Nchini Nigeria Diamond alipata mualiko wa kuhudhuria harusi ya Peter wa P Square.

Pichani ni Diamond Platnumz msanii kutoka bongo akiwa na bwana harusi Peter wa Psquare pale walipokutana huko Lagos Nigeria kwenye harusi ya Peter.


EmoticonEmoticon