Kampuni ya simu ya Tecno yazindua Smartphone ya Camon 9 nchini Tanzania
• Ina kamera yenye uwezo wa mega pixel 13
•Yaja na ofa ya GB 10 kutoka kampuni ya simu ya Vodacom kwa muda wa mwezi moja.
![]() |
Meneja wa mauzo wa TECHNO Bw Fred Kadilana akielezea ubora wa CAMON c9 |
Kampuni ya simu ya TECNO leo imezindua rasmi
nchini Tanzania smartphone mpya aina
ya Camon C9 yenye uwezo mkubwa na sifa mbalimbali. Toleo hili jipya la Camon 9 linafuatia mafanikio
makubwa yaliyotokana na toleo la Camon 8
lililozinduliwa mwaka jana.
aina ya ‘Selfie‘kwa watu wengi kwa pamoja pia kulenga kitu
kilichopo kwenye mwendo kwa sekunde 0.1
na kukitoa vizuri bila ukungu .
'Tunawaletea toleo jipya la simu lenye mtazamo mpya
wa kamera inayoweza kugeuka ndani na nje vilevile na
pembeni ‘Alisema Bw Fred Kadilana .
EmoticonEmoticon